Wednesday, September 22, 2010

Nyumba Ya Makimbilio

 Efatha Ministry: ni huduma ya Ukombozi na Uponyaji iliyoanzishwa mnamo mwaka 1992 na kusajiliwa rasmi kisheria mwaka 1997...Mwanzilishi wake ni MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA aliyepokea maono haya akiwa huko MERERANI mkoani ARUSHA.Imekuwa ni huduma ya kipekee kwa wale waliokosa matumaini na mahali pa kutua mizigo iliyowaelemea katika maisha yao....yawezekana kabisa unao uhitaji wa uponyaji na ukombozi katika maisha unayopitia....tembelea LEO katika Kituo kikuu kilichopo Mwenge Dar Es Salaam...kina choongozwa na MTUME NA NABII au MAKAO MAKUU yaliyopo KIBAHA(PRECIOUS CENTRE)na vituo vingine mikoani na hata nchi za nje....ikiwa umewahi kusikia habari za EFATHA tafadhali changia hapa kueleza yale ambayo Mungu amekufanyia kupitia huduma hii ili na wengine wapate kuinuliwa na Ushuhuda wako.....Ahsanteni sana na Mungu awabariki sana!!

1 comment:

  1. na nimtumishi wa Mungu anaye tii maagizo kutoka kwa Mungu

    MUNGU AMBARIKI SANA

    MTUME NA NABII

    ReplyDelete